Afande Sele: Ni Laana Kumdharau Mama Aliyekuzaa kwa Upasuaji
AFANDE SELE; ni rapa mkongwe wa kutema mistari ya muziki kutoka nchini Tanzania ambaye hatimaye amezungumzia tatizo la kiafya ambalo limekuwa likimtatiza kwa muda mrefu na pia kuwatetea kina mama wanaojifungua kwa njia ya upasuaji.…