The House of Favourite Newspapers

Haji Manara Awaombea Simba

Baada ya kutoka kwa taarifa ya mechi ya Kagera na @simbasctanzania kuahirishwa kwa sababu ya wachezaji wa Simba kuumwa mafua na kifua, Msemaji wa Klabu ya @yangasc @hajismanara amewaombea wachezaji wa klabu hiyo ili kuendelea na…

Haji Manara Awaombea Simba

Baada ya kutoka kwa taarifa ya mechi ya Kagera na Simba kuahirishwa kwa sababu ya wachezaji wa Simba kuumwa mafua na kifua, Msemaji wa Klabu ya Yanga, Haji Manara amewaombea wachezaji wa klabu hiyo ili kuendelea na majukumu…

Ifahamu Historia ya Haji Manara

Miaka ya 1970, Tanzania ilimshuhudia Sunday Manara, mzaliwa wa Kigoma aliyejaaliwa ufundi wa kusakata kabumbu. Sunday alifahamika kama ‘computer’ kutokana na ufundi wake wa kipekee uwanjani. Januari 18, 1976, Sunday Manara…

Haji Manara Apata Ajali

Msemaji wa Yanga Haji Manara amekiri kupata ajali ‘mbaya’ ya gari jana usiku Jijini Dar es salaam na kusema alinusurika kwenye ajali hiyo ambayo imeliacha gari lake likiwa limeharibika vibaya. Haji ameyasema hayo wakati akieleza…

Haji Manara Kuchukua Jiko Leo

MSEMAJI wa Klabu ya Simba, Haji Manara, mapema jana amethibitisha kuwa ifikapo siku ya leo Alhamisi, Desemba 10, 2020,  anatarajia kufunga ndoa na mchumba wake aliyemtambulisha kwa jina Naheeda. Amebainisha hayo kupitia…

Haji Manara Aipa Somo Yanga SC

OFISA Habari wa Klabu ya Simba, Haji Manara, ameushauri uongozi wa Klabu ya Yanga kujiandaa vizuri kama ni kweli wanataka kuingia katika mabadiliko ya mfumo wa kiuendeshaji wa klabu yao. Hivi karibuni, Yanga walikuja na kampeni…