Msama Promotion: Tamasha La Pasaka Mwaka Huu 2024 Kufanyika Nchi Nzima
Dar es Salaam 10 Januari 2024: Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion, Alex Msama waandaaji wa Tamasha la Pasaka amesema tamasha hilo mwaka huu litafanyika nchi nzima.
Msama amesema kampuni hiyo imefikia maamuzi hayo kufuatia…