Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba Majaba Kuingia Dar Leo
KIBABE! MSHINDI wa Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba Awamu ya Pili, George Majaba leo anatarajiwa kuingia jijini Dar es Salaam kibabe kwa mapokezi makubwa kabla ya kukabidhiwa mjengo wake uliojengwa Bunju B nje kidogo ya jiji.
Kwa mujibu wa…