TCRA Yazifungia Clouds TV, Clouds FM Siku 7
MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeagiza Clouds TV na Clouds FM (Redio) kusitisha matangazo yao kwa muda wa siku saba kuanzia kesho Ijumaa 28 Agosti hadi 3 Septemba 2020 kwa kosa la kukiuka kanuni za utangazaji na kanuni ndogo…