The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Afya ya Mwili

Mambo 5 Unayotakiwa Kujua Kuhusiana Na Hedhi

NI vema kujua haya tutakayoyaainisha hapa leo. Inakadiriwa kuwa, mwanamke hupata hedhi wastani wa mara 400 katika maisha yake.  Pia, neno linalotumika sana kuwakilisha hedhi ni ‘period’, lilianza kutumika kwa mara ya kwanza kwenye…

Usiyoyajua kuhusu ugonjwa wa kisukari

WASOMAJI wengi wa safu hii wamenitumia sms na kutaka kujua chanzo cha mtu kuugua kisukari, wengine wanadhani kula sukari nyingi husababisha ugonjwa huo.  Ili kuelewa vyema ugonjwa wa kisukari ni muhimu kwanza kuelewa namna chakula…

Maumivu chini ya kitovu kwa wanawake!-2

Kwa tuliokuwa pamoja, wiki iliyopita tuliianza mada hii ya Maumivu chini ya kitovu kwa wanawake. Hili ni tatizo ambalo linahitaji umakini wa hali ya juu kuweza kulitambua na kuweza kupata tiba sahihi. Kuna baadhi ya watu wamekuwa…

Chanzo cha ugonjwa wa Gauti na tiba yake!

GAUTI (Gout) ni aina ya ugonjwa unaoathiri viungo vya mwili unaosababishwa na kuwepo kwa kiasi kikubwa kuliko kawaida cha tindikali ya Urea (uric acid) katika damu.  Ongezeko la uric acid husababisha madhara katika jointi (joint)…

Maumivu chini ya kitovu kwa wanawake!

MAUMIVU chini ya kitovu kwa wanawake kitaalamu huitwa Lower Abdominal Pain, ni tatizo ambalo huwakumba hata wanaume lakini kwa bahati mbaya wengi hulichukulia kuwa ni jambo la kawaida kitu ambacho baadaye husababisha wagonjwa kuingia…

Vijue vyakula vya kuongeza wingi wa damu

UPUNGUFU wa damu ni ile hali ya kiasi cha damu mwilini kuwa kidogo kuliko kinachotakiwa na mwili kulingana na hali ya mtu na jinsia yake. Hali hiyo hupimwa maabara na hospitali kwa kuangalia kiasi cha Haemoglobin, (HB).  Zipo sababu…

MAAJABU YA KAROTI KATIKA KUTIBU MACHO

MATATIZO mengi yanayowapata wana jamii ya leo hii kwa kiasi kikubwa yanachangiwa na ulaji usiokuwa mzuri na kutozingatia kanuni bora za afya.  Watu wengi wamekuwa wakila kwa mazoea kwa maana ya milo mitatu kwa siku lakini linapokuja…

SULUHISHO LA UPUNGUVU WA NGUVU ZA KIUME

KwA muda mrefu sasa huwa tunaandika tatizo hili na kutoa ushauri. Kwa muda mrefu sasa suala hili la unyumba linajadiliwa sehemu mbalimbali. Jambo linalozungumziwa au kujadiliwa na wengi na kwa kipindi kirefu ujue kwamba ni jambo kubwa…

TATIZO LA KUWASHWA MWILI NA TIBA YAKE

KUWASHWA katika ngozi ya mwili ni kitu kinachomfanya mwanadamu kukosa utulivu kutokana na kero anayopata. Hutokea mwanadamu kukumbwa na muwasho wa hata kuaibisha ikiwamo ule wa sehemu za siri. Lakini wataalamu wanasema tatizo la…

MAAJABU YA KIFAA CHA TIBA MPYA YA UKIMWI

JANGA la ugonjwa wa Ukimwi lililodumu kwa zaidi ya miaka 36 linaweza kufikia kikomo endapo tiba mpya iliyogundulika nchi Marekani itakubaliwa na Shirika la Afya Duniani ‘WHO’.  Weka kado tiba na majaribio yote ya kinga dhidi ya…

MADHARA YA PUMU KWA WAJAWAZITO

Tafiti kadhaa zimeonesha kuwa takribani theluthi moja ya wajawazito wenye pumu hupata nafuu kipindi cha ujauzito, theluthi nyingine hupata matatizo kipindi hiki na theluthi iliyobakia huwa na hali ya kawaida kabla ya ujauzito. …

JIFUNZE NJIA YA KUPATA WATOTO MAPACHA

Uzazi ni suala ambalo kila mtu aliye katika umri wa kuzaa analizungumzia. Mwanaume anaweza kuwa na tatizo la uzazi na mwanamke pia. Watu wawili, mke na mume pia wanaenda kuwa na watoto. Kiu ya kupata watoto mapacha inakuwa kubwa zaidi…

NJIA ZA KUEPUKA KISUKARI (DIABETES)

UGONJWA wa kisukari (diabetes) unaongezeka haraka sana na umekuwa janga ulimwenguni pote. Kuna aina kuu mbili za kisukari;  Aina ya kwanza huanza utotoni na hadi sasa madaktari hawajui jinsi ya kuzuia. Makala haya yanazungumzia aina ya…

MAGONJWA YANAYOSABABISHWA NA MAZIWA

IKIWA unahisi kichefuchefu, tumbo linasokota, linafura, lina gesi, au unaharisha baada ya kunywa maziwa au kula vyakula vinavyotengenezwa na maziwa, elewa kuwa una ugonjwa unaosababishwa na maziwa kitaalamu huitwa lactose intolerance. …