The House of Favourite Newspapers
Browsing Category

Risasi

Ukiwa na Sifa Hizi Lazima Uolewe!

MOJA kati ya kilio kikubwa cha mabinti ni kupata wanaume sahihi wa kuwaoa. Ishu si tu kuolewa lakini kupata mume sahihi ni jambo lingine. Wengi wanaishia kukutana na wanaume ‘wasanii’ ambao hawana mpango wa ndoa. Wao wanafurahia…

Wema na Zari, Vita Imenoga

ILIANZA kama masihara tu hivi lakini sasa hivi mambo yametaradadi kati ya muigizaji Wema Sepetu na mrembo kutoka pande za Sauz, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, wanapigana vijembe ile mbaya. Awali, ishu…

Aunt Kujifungua Akirushwa Laivu

UKISTAAJABU ya Musa, utaona ya firauni! Ndivyo unavyoweza kutafsiri maajabu anayotarajia kuyafanya Staa wa filamu Bongo, Aunt Greyson Ezekiel baada ya kuweka wazi kuwa, amenuia kuongozana na mashabiki zake leba, pindi atakapokuwa…

Mambo 5 Kutikisa Uchaguzi 2020

DAR: Mbio za Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar 2020 zimezidi kushika kasi na kuwaacha wanasiasa matumbo joto kutokana na uchaguzi huo kuwa na mtikisiko wa kipekee. Gazeti la IJUMAA linachambua. Mtikisiko huo unatokana na mgombea…

Wema aishangilia mimba ya Tanasha

HIVI unajua miaka inaenda na watu wanabadilika tabia? Leo hii unaweza kuamini staa wa filamu Bongo Muvi, Wema Sepetu anaifurahia mimba ya mchumba wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’,Tanasha Donna tofauti na watu…