The House of Favourite Newspapers

Wameacha Majina Yao ya Asili

LIMEKUWA ni jambo la kawaida kwa wasanii wa muziki wa Bongo Fleva, lakini pia wa filamu na tasnia mbalimbali kubadili majina yao ya asili kwa lengo la kuimarisha chapa zao ili kuvutia mashabiki ambao ndiyo wanunuzi wa kazi zao.…

Waziri Mkuu Majaliwa Awaka Na Madiwani-Video

Waziri Mkuu alizungumza na madiwani, watumishi wa umma na wananchi wa Halmashauri ya wilaya ya Nachingwea katika ukumbi wa Chuo cha Ualimu Nachingwea na kuwasisitiza kila mmoja atambue kwamba yupo wilayani Nachingwea kwa ajili ya…

Majambazi Wanne Wauawa Lindi

JESHI la Polisi mkoani Lindi, limefanikiwa kuwaua watu wanne kati ya sita wanaosadikika kuwa ni majambazi, kufuatia majibizano ya risasi katika eneo la Nanganga station wakielekea wilaya ya Ruangwa baada ya kufanya matukio ya…