CCM Yamuita Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda kwenye Kamati ya Maadili
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemuita Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda kwenye Kamati ya Maadili na anatarajiwa kuitikia wito huo siku ya leo Jumatatu, Aprili 22, 2024.
Japo haijaelezwa anachoitiwa lakini inaweza kuhusishwa na kile…