The House of Favourite Newspapers

Mambo Makubwa ya Kukumbukwa 2021

HATIMAYE mwaka 2021 unakaribia ukingoni; bado takriban siku 20 tu, lakini kuna mengi yamejiri katika safari hiyo yenye milima na mabonde. Yapo ya kufurahisha na yapo ya kuhuzunisha. Kupitia IJUMAA SHOWBIZ, kuelekea kuufunga mwaka…

Wameacha Majina Yao ya Asili

LIMEKUWA ni jambo la kawaida kwa wasanii wa muziki wa Bongo Fleva, lakini pia wa filamu na tasnia mbalimbali kubadili majina yao ya asili kwa lengo la kuimarisha chapa zao ili kuvutia mashabiki ambao ndiyo wanunuzi wa kazi zao.…

King Kiba Hakamatiki Aisee

ALBAM mpya ya Mfalme wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba au King Kiba iitwayo The Only One King aliyoiachia Oktoba 7, mwaka huu, haikamatiki aisee. Hadi sasa imetazamwa na zaidi ya watu milioni 19 katika mitandao mitatu. Albam…

Mambo mazito albam ya King Kiba

NI dhahiri kwamba Ali Saleh Kiba au King Kiba ni mfalme wa Bonge Fleva kwani ametoa albam ya Only One King iliyotoka Ijumaa ya wiki iliyopita. Albam hiyo ni ya tatu kwa Kiba ina nyimbo 16 na yafuatayo mambo mazito ambayo unapaswa…

Warembo Hawa Walikimbiza Mbaya

GUMZO linaloendelea ni juu ya maisha ya mwanamama Pauline Zongo ambaye ni miongoni mwa warembo walioweka msingi wa mabinti kujiingiza kwenye muziki, lakini sasa anakabiliwa na changamoto za kiafya akidaiwa kujiingiza kwenye ulevi wa…