Kiungo Mpya Ajiondoa Simba Arejea Nyumbani Kwao, Uongozi Wafunguka
UONGOZI wa Simba, upo katika mipango ya kumruhusu kiungo wao, Muivory Coast, Aubin Kramo, kurejea nyumbani kwao kwa ajili ya matibabu ya majeraha yake ya goti.
Hiyo ikiwa ni siku chache tangu kiungo huyo, ajitoneshe majeraha hayo…