Shoo ya Eid: Tazama Zuchu Alivyosepa na Kijiji Dar Live – Video
MWANADADA Zuchu anayetisha kunako gemu la Bongo Fleva kutoka lebo ya WCB usiku wa wa kuamkia leo alipiga bonge la shoo ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani wa Dar Live.
Zuchu kabla hajapanda jukwaani kwenye ukumbi huo wa kisasa…