Stephen Masele Achukua Fomu Kuwania Uspika
ALIYEKUWA Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini Stephen Julius Masele leo Jumatatu, Januari 10, 2022 amechukua Fomu ya kugombea Kiti cha Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
…