Gigy Money Adai Unga, Pombe Vinatesa Mastaa wa Bongo, Agusia na Bangi
GIFT Stanford almaarufu Gigy Money; ni mwanamama staa wa muziki nchini Tanzania ambaye amefichua siri ya mastaa wengi Bongo kuwa wana njaa inayowasababisha kuishia kuteswa na matumizi ya madawa ya kulevya (unga), bangi na pombe.…