MR SHINDA NYUMBA ZAWADI MLANDIZI LEO
BAHATI Nasibu ya Shinda Nyumba Awamu ya Pili leo itatembelea eneo la Mlandizi mkoani Pwani ambako Mr Shinda Nyumba atagawa zawadi kwa mamia ya wasomaji wa magazeti ya Global Publishers ambayo ni Ijumaa Wikienda, Uwazi, Risasi,…