Browsing Category
Ijumaa
Siri Ushindi wa Magufuli dhidi ya Corona Yafichuka
Mwanzoni mwa miaka ya 1990, niliwahi kuishi mkoani Geita kwenye machimbo ya dhahabu yaitwayo Mugusu, waliokuwepo maeneo hayo wakati huo watakumbuka, palitokea mlipuko wa ugonjwa wa kuhara na kutapita, baadaye ukathibitika kwamba ni…
WOLPER, Meja Kunta kitu na boksi?
DAR: Licha ya kuwepo kwa janga la maambukizi ya Virusi vya Corona, mambo hayaishi mjini kwani ndiyo kwanza yanazidi kupamba moto.
Habari ya mjini kwa sasa ni kuwepo kwa tetesi kuwa mastaa wawili Bongo, Jacqueline Wolper…
MREMBO: Nimelala Apartment na Harmonize Siku 3 – Video
DAR: Baada ya kusambaa kwa video inayodaiwa kuonesha kuwa amefumaniwa akiwa na staa wa Bongo Fleva, Rajab Abdul ‘Harmonize’, mrembo mwenye umbo matata la kuvunja chaga Bongo; Nicole Joyberry, ameibuka na kueleza kwa upande wake kuhusu…
Sarah wa Harmo Awachefua Warembo Uganda
KWA matarajio yao, baadhi ya warembo wa Kiganda walifikiri staa wa Bongo Fleva, Rajab Abdul ‘Harmonize’ atazuru nchi hiyo akiwa peke yake, badala yake akatimba na mkewe, Sarah Michelotti, unaambiwa walichefukwaje?
Iko hivi;…
Ijumaa Sexiest Girl 2019… Bye Queen Elizabeth!
ZOEZI la kupiga kura linazidi kushika kasi ambapo baada ya msanii wa Bongo Fleva, Rosa Ree (17) kutolewa, wiki hii hali imekuwa mbaya kwa Miss Tanzania 2018, Queen Elizabeth (19) ambaye ameambiwa bye na wapiga kura.
Warembo 20…
SIRI UTAJIRI WA JUX YAVUJA!
DAR ES SALAAM: Kama ulikuwa hujui, habari ikufikie kwamba staa mwingine wa Bongo Fleva, Juma Mussa ‘Jux’ ana ukwasi wa kutosha, Gazeti la Ijumaa limeingia mzigoni na kuibuka na siri nyuma ya mafanikio yake!
MTANDAO YA KENYA YAMTAJA…
Wolper akiri kudanga
WAKATI mastaa mbalimbali wa kike wakidaiwa kudanga kwa wanaume tofauti, mwigizaji Jacqueline Wolper amefunguka kuwa hata yeye amewahi kufanya hivyo, lakini kwa staili ya tofauti. Akistorisha na Gazeti la Ijumaa, Wolper alisema amewahi…
Meneja Aingilia Penzi la Ebitoke, Mlela
MENEJA wa zamani wa mchekeshaji Ebitoke, Bhoke Rioba ameingilia kati suala la msanii wake huyo kuanika uhusiano wake na mwigizaji Yusuf Mlela.
Meneja huyo amemtahadharisha Ebitoke kuwa asitegemee kupata dili zozote kama…
Ruby afunguka kuachana na mzazi mwenzake
KUACHWA au kuacha kusikie kwa wengine, usiombe yakukute! Hayo ni maneno ya mwanamuziki wa kike wa Bongo Fleva, Hellen George ‘Ruby’ ambaye juzikati zilisambaa tetesi kuwa ameachana na mzazi mwenzake, Kusah. Akizungumza na Gazeti la…
Sabby Angel Amshauri Harmonize
WIKI chache baada ya Meneja wa WCB, Sallam kusema kuwa staa wa Bongo Fleva, Abdul Khali ‘Harmonize’ ameandika barua ya kutaka kutoka WCB, mkali wa Muziki na Filamu Bongo, amemfungukia msanii huyo kuwa ni mapema sana kujitoa.
…
Lulu Diva afungukia kumvuruga Tanasha!
DAR ES SALAAM: Agosti 2, mwaka huu, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ alilazimika kukanusha habari zilizokuwa zikienea kwa kasi ya ajabu kuwa alichepuka na mrembo wa Bongo Fleva, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’, jambo…
Hii ndiyo Idadi ya wanaume wa Tanasha
DAR ES SALAAM: Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ anafahamika kwa kucheza na mioyo ya watoto wa kike kisha kuwaacha solemba. Kwa upande wake, mchumba wa Diamond au Mondi wa sasa, Tanasha Donna Oketch amejibu kuwa…
Mona amtahadharisha Mbasha kwa Sonia
ULE usemi usemao abiria chunga mzigo wako, umejidhihirisha wazi kwa msanii mkongwe Yvonne Cherry ‘Monalisa’ baada ya kumtaha-dharisha muimbaji wa Injili, Emmanuel Mbasha kwa mtoto wake, Sonia. Ishu ilianza hivi; Mona alitupia picha ya…
NORA AOMBA MSAADA WA MAOMBI
MGANGA hajigangi! Licha ya kwamba kwa sasa ameishika dini vilivyo, msanii wa filamu Bongo, Nuru Nassoro ‘Nuru’ amewaomba watu wamuombee ili aweze kufika peponi. Akibonga na Ijumaa,Nora alisema anaweza kuwa mstari wa mbele kuwahamasisha…
Ijue silaha ya kudumu penzini
UKIFANYA tathimini za kina, utagundua mapenzi ni muhimu sana katika maisha yetu ya kila siku. Mapenzi ni kichocheo cha furaha, amani na mshikamano. Mapenzi yanaleta utulivu wa akili, yanatibu matamanio ya mwili.
Mapenzi yanaleta…
MCHUNGAJI AANDAA MAOMBI NDOA YA LULU
DAR ES SALAAM: Mchungaji wa Mitume na Manabii, Daudi Mashimo, baada ya kumaliza maombi aliyokuwa akimuombea mwigizaji wa filamu za Kibongo, Wema Isaac Sepetu ambaye kwa sasa mambo yanamuendea vizuri, amesema ameandaa maombi maalum…
Esma Afichua Mpango Mimba Ya Tanasha Kuharibika
WAKATI akiwa amebakiza mwezi mmoja wa kujifungua, dada wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Esma Khan ‘Esma Platnumz’ amefichua mpango wa mimba ya wifi yake, Tanasha Donna kuharibiwa.
Tanasha ambaye pia ni…
shilole Siwezi kufa na unafiki!
MSANII wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amesema watu wengi wanakwama kwa sababu hawapendi kusema ukweli badala yake wanakumbatia unafiki, jambo ambalo yeye hawezi kufa nalo. Katika mahojiano na Gazeti la Ijumaa Wikienda,…
tanasha atamani mwanawe afanane na baba’ke
MWANDANI wa mwanamuziki mkali wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Tanasha Donna Oketch ametoa la moyoni kuwa anatamani mwanaye atakayejifungua afanane na baba’ke. Tanasha ameliambia Gazeti la Ijumaa Wikienda kuwa anamsubiri…
Elewa tatizo la ugumba kwa wanaume!
TATIZO la ugumba limekua kubwa na umefika wakati lizungumzwe kwa kuangalia upande wa pili wa shilingi. Inaelezwa kuwa katika kila ndoa sita, moja huhangaika kupata uzazi na mmoja kati ya wawili hao anaweza kuwa mgumba.
Zipo sababu…
MREMBO AMTIA ADABU ZARI
DAR ES SALAAM: Maji yamekorogeka! Upepo bado siyo mzuri kabisa kwa upande wa mwanamama Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kwani ameendelea kunyooshwa huko nchini kwao, Uganda, Gazeti la Ijumaa limekukusanyia habari mpya. Kama…
UWOYA amfanyia mbaya Johari
ZANZIBAR: Staa mkubwa wa filamu Bongo, Irene Uwoya amemfanyia kitu mbaya mwigizaji mwenzake, Blandina Chagula ‘Johari’. Uwoya amemshtukiza Johari ambaye ni shoga’ke mkubwa na kummwagia ndoo za maji kwenye kumbukumbu yake ya kuzaliwa…
Mama D nyodo 100%
ANATAAAMBA! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya mama wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kassim ‘Mama D’ kuonekana akijiachia kwa nyodo asilimia mia na mumewe, Maisara Shamte ‘Anko’. Tukio hilo lilitokea usiku…
Unagombana sana na mpenzi WAKO?
UHUSIANO wa kimapenzi ni kitu muhimu katika maisha ya binadamu! Mtu yeyote ambaye amekamilika, anahitaji kuwa katika uhusiano wa kimapenzi. Hakuna anayeweza kuvumilia maisha ya upweke, sote tunahitaji kupenda na kila mtu anahitaji…
Romy Jones amjibu Shilole!
DAR ES SALAAM: Saa chache baada ya mwanamama wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ kudai kuwa Rais wa Wasafi, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ anabagua wasanii katika tamasha lao la Wasafi, makamu wa rais wa lebo hiyo, DJ Romy Jones…
MONDI AMUUMBUA ZARI UGANDA!
MAMBO ni moto! Bado ‘muvi’ la zilipendwa Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ linazidi kutikisa na safari hii, jamaa huyo amemuumbua mama watoto wake huko nchini Uganda, Gazeti la Ijumaa Wikienda…
WEMA AFICHUA SIRI YA MAISHA YAKE
WEMA Isaac Sepetu ‘Madam’ amevunja ukimya, amefichua siri nyuma ya maisha yake, Ijumaa Wikienda linakudokeza. Katika mahojiano maalum na Gazeti la Ijumaa Wikienda muda mfupi baada ya kuhojiwa na +255 Global Radio na kutambulisha…
MARIOO ANAVYOPINDUA BONGO FLEVA
MUZIKI ni ajira lakini pia ni biashara kubwa ndiyo maana nchini Nigeria wanaichukulia ‘serious’ tofauti na wengi wanavyoiona! Kila mwaka wanazaliwa wasanii wapya ambao wanakuja kuwa wakubwa na kukimbiza ndani na nje ya nchi ndiyo maana…
Johari Hajawahi Kumnyima Chuchu Usingizi – VIDEO
ZANZIBAR Mwanamama kunako Bongo Muvi, Chuchu Hans, kwa mara ya kwanza amefunguka kuwa, hajawahi kutikiswa na mwigizaji mwenzake, Blandina Chagula ‘Johari’ kiasi cha kukosa usingizi, kisa penzi la mwigizaji Vincent Kigosi ‘Ray’.…
HARMONIZE KUJITOA WASAFI GIZA NENE!
DAR ES SALAAM: Ni giza nene! Madai yenye ujazo wa kutosha yanaendelea kutikisa kwamba memba wa Wasafi Classic Baby (WCB), Rajab Abdul Kahali ‘Harmonize’ huenda akawa amejitoa kwenye lebo hiyo au pia yaweza kuwa vinginevyo, Gazeti la…
MSHTUKO MCHUMBA WA JUX, ADAIWA KUFANYA UPASUAJI MARA 6
DAR ES SALAAM: ACHANA na bata analokula akiwa na staa wa muziki wa RnB Bongo, Juma Khalid ‘Jux’ mara wapo kwenye Viwanja vya Mlimani City mara Hifadhi ya Wanyama Serengeti mkoani Mara! Habari mpya ikufikie kuwa mrembo anayedaiwa kuwa ni…
SULUHUSHO LA UPUNGUVU WA NGUVU ZA KIUME-2
Wiki iliyopita niliianza mada hii ambayo inaonekana kugusa wengi juu ya tatizo la upungufu wa nguvu za kieme. SASA ENDELEA... TATIZO la upungufu wa nguvu za kiume na kutofurahia tendo ni tatizo la muda mrefu na sugu ambalo uhusisha…
KIAMA CHA WAKINA GIGY MONEY, SANCHI, AMBER LULU KIMEFIKA
“HATUWEZI kuwa na wanamuziki wanaotegemea kiki, niombe kwa wasanii wote wanaotegemea muziki wao kwa kiki waache mara moja.”
Ni maneno ya Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza alipokuwa…
Diva: Nakula Bata na Jaguar Dubai!
MWANAMUZIKI mrembo anayekuja juu kwa kasi kwenye bongo Fleva, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ ameweka wazi mapenzi yake motomoto na mwanamuziki wa Kenya, Charles Kanyi almaarufu Jaguar.
Lulu Diva aliliambia Gazeti la Ijumaa Wikienda…
Kajala Kisogo Maisha ya Starehe
MWANAMAMA wa Bongo Movie, Kajala Masanja amefunguka kuwa, kwa sasa ameamua kuyapa kisogo maisha ya kuendekeza starehe hivyo mambo yanayoendelea kwenye ulimwengu wa starehe na burudani hana mpango nayo.
Akichonga na Gazeti la Ijumaa…
MAJIZO AWAKA, KISA LULU
WAKATI ukimya ukiwa umetawala kwa muda tangu kutangazwa kwa ndoa yao huku maneno yakiwa mengi kuwa harusi yake na mwigizaji mkali wa Bongo Movies, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’ imeyeyuka, mmiliki wa Kituo cha Redio cha EFM na…
UKIONA HAYA ,UJUE NI SIKU ZA MWISHO ZA PENZI LENU !
NI Ijumaa nyingine tunakutana kwenye uwanja wetu huu mujarabu wa kupeana elimu ya kuboresha uhusiano wako. Niende moja kwa moja kwenye mada yangu ya leo inayoangazia ishara mbaya ambazo ukianza kuziona, basi ujue ni siku za mwisho za…
AMBER LULU ALIA POMBE KUMPONZA
MSANII wa Bongo Fleva, Lulu Euggen ‘Amber Lulu’ amefunguka kuwa pombe ndiyo imemharibia kila kitu na kumsababisha aonekane kituko kwenye jamii. Akizungumza na Ijumaa, Amber Lulu ambaye alifanya kituko kwenye Shindano la Miss Kinondoni,…
MWANAMKE MBARONI MAUAJI YA MJESHI!
KIMEWAKA ile mbaya! Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limefanya msako mkali kisha kuwatia mbaroni watuhumiwa kadhaa akiwepo mwanamke mmoja kwa tuhuma za mauaji ya mwanajeshi au mjeshi, Gazeti la Ijumaa Wikienda lina kisa na mkasa. Jeshi…
UTAJIRI WA MBUNGE MATIKO BALAA
FEDHA inaongea! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia ukwasi anaodaiwa kuwa nao Mbunge wa Tarime-Mjini, Ester Matiko, Gazeti la Ijumaa Wikienda linakudondoshea ubuyu kamili! Sehemu kubwa ya utajiri wa mbunge huyo machachari wa Chama cha…