Browsing Category
Photos
#GlobalCelebrityUpdates: Akothee Afanya Matanuzi Zurich Na Gari Jipya Aina Ya ‘Porsche…
Kwenye Celebrity Updates za leo April 07 2017 ninayo hii ya Madam Boss wa 254 Akothee kutokea pande za Zurich.
Waswahili husema; 'Pesa ni sabuni ya roho'. Ukiwa na pesa mambo yako mengi yanaedna poa hata matanuzi yako yanakuwa…
#GlobalCelebrityUpdates: Harmo Rappa Apigwa Chupa Maisha Basement Kisa ‘Kiboko Ya…
Good morning mdau, leo kwenye Celebrity Updates ninazo zile zilizobamba over the weekend ikiwemo hii ya msanii anaechipukia kwa kasi sana Bongo Flevani Harmo Rappa kupigwa chupa akiwa stejini Maisha Club. Ilikuwaje? Acha…
#GlobalCelebrities: Tazama Jinsi IlivyokuwaKwenye Uzinduzi Wa Album Mpya Ya Lady Jay Dee…
Siku ya Ijumaa tarehe 31 Machi ilikuwa siku muhimu sana kwa Malkia wa Bongo Fleva Lady Jay Dee ambaye alikuwa anazindua album yake ya saba 'Woman'.
Kama ilikupita na hukupata muda wa kuhudhuria usiku wa Lady Jay Dee pale kwenye…
#GlobalUpdates: Akon Amchagua Muafrika Huyu Kuwa Muongozaji Mkuu Wa Video Zote Za Konvict Music…
Imagine unapata shavu la kufanya kazi na Akon na unaenda kuwa Muongozaji wa video sio moja wala mbili bali video zote zinazotengenezwa chini ya kampuni ya Konvict Music Worldwide! Hizi bahati zina wenyewe na imemdondokea Muafrika huyu.…
#GlobalUpdates: Kwa Wale Wanaopenda Kujiachia, Instagram Kuanza Kuficha Picha Na Videos Za Utupu!…
Instagram wanazidi kuboresha matumizi ya App yao ikiwa ni sehemu ya ahadi waliyoitoa September mwaka jana kuifanya App hiyo 'sehemu salama kwa matumizi ya kila mtu', na kama ilikuwa haijakufikia bado ipokee update nyingine kutoka kwao.…
#GlobalCelebrities: Ciara Anusurika Kupoteza Ujauzito Wake Kwenye Ajali Ya Gari – (Pichaz)
Staa wa muziki wa Marekani Ciara anusurika kupoteza ujauzito wake kwenye ajali ya gari jijini Los Angeles, mtandao wa TMZ umeripoti.
Ciara ambaye ni mjamzito wa miezi saba amenusurika kupoteza maisha yake na ya mtoto wake siku ya…
#GlobalCelebrities: P-Square Wanajua Kuishi Kistaa, Zicheki Picha Za Nyumba Yao Mpya
Wasanii wa Nigeria wanajua nini maana ya kuishi kistaa, na Peter na Paul Okoye maarufu kama P-Square ni miongoni mwa wasanii wanaojua kuitumia vizuri status yao.
Siku chache zilizopita nilikuambia ukitaka kujua msanii gani amefanya…
#GlobalUpdates: Kampuni Ya Nike Kuja Na Hijab Za Mazoezi Kwa Ajili Ya Dada Zetu Wa Kiislam –…
Mazoezi ni kitu muhimu sana kwa mawanadamu na ndio maana Nike hawataki kumuacha mtu nyuma.
Kama wewe ni mpenda mazoezi na hutamnai sana kufanya mazoezi yako kwa uhuru bila kuhisi umevaa nguo zinazokuchorehsa mwili sana basi ondoa…
#GlobalCelerbrityUpdates: Ciara Kwenye Pozi Nane Tofauti Kipindi Hiki Cha Ujauzito – (Pichaz)
Staa wa muziki kutoka Marekani Ciara ambaye kwa sasa ni mjamzito amefanya interview na jarida la Harper Bazaar na kuzisogeza kwetu picha nane akiwa kwenye pozi tofauti kutoka kwenye interview hiyo.
Ndani ya interview hiyo…
#GlobalCelebrityUpdates: Wizkid Na Drake Kufanya Collabo Nyingine?
Siku hizi ukitaka kujua msanii gani anafanya nini, wapi, lini na nani isogelee tu Instagram au Twitter, huko utapata majibu ya maswali yako yote.
Baada ya kufanya vizuri na wimbo wao wa 'One Dance', kuna uwezekano wa Wizkid na Drake…
#GlobalCelebrityUpdates: Skales Asimulia Jinsi Alivyolazimika Kumkana Mama Yake Zaidi Ya Mara Moja.
Kwenye celebrity updates za leo machi 8 2017, nakusogezea hii ya staa wa muziki kutoka Nigeria Skales.
Hit maker wa single ya 'Shake Body' Skales hivi karibuni alifanya interview na kpindi cha Radio kiitwacho 'Saturday Beats' huko…
PICHA: Wakenya Wanasema Huyu Ni Copy Paste Ya First Lady Mama Margaret Kenyatta
Kwenye zile za watu kufananishwa na mastaa au watu wengine wakubwa na maarufu duniani ongeza na hii ya huyu mama anayefananishwa na First Lady wa Kenya, Mama Margaret Kenyatta.
Nimekutana na stori kwenye mtandao mmoja wa Kenya ya…
Wizkid Adondosha Wino Na RCA Records/ Sony Music International Na Kuachia Wimbo Mpya; ‘Sweet…
Staa wa muziki kutoka Nigeria Wizkid anazidi kupasua anga kulitafuta soko la muziki duniani.
Mmiliki wa Starboy Entertainment Worldwide Ayodeji Ibrahim Balogun maarufu kama Wizkid amesign mkataba mnono wa kurekodi album na label…
#GlobalCelebrityUpdates: Trevor Noah Sio Wa Mchezo Mchezo! Hii Ndio Nyumba Yake Mpya Ya USD $10…
Trevor Noah sio wa mchezo mchezo! Akiendelea kukitendea haki kipindi cha The Daily Show, haya ndio maisha anayoishi mchekeshaji huyo nchini Marekani kwa sasa.
Trevor Noah amenunua nyumba aina ya 'Penthouse' maeneo ya Midtown…
#GlobalUpdates: Hatimaye! YouTube Kuja Na Huduma Ya Kulipia Bundle La TV
Mtandao ndio kila kitu siku hizi, kila linapotokea jambo huwa ni rahsi sana kulijua ama kuliona moja kwa moja kupitia mtandao, iwe live au recorded ushindani wa mtandao umekuwa mkubwa sana na ndio maana YouTube wameamua kujiongeza na…
#GlobalCelebrityUpdates: Hii Ndio Hobby Kubwa Ya Msanii Akothee Kutoka Kenya… Sio Kuimba
Esther Akoth maarfu kama Akothee anafahamika kama mwanamziki wa kike mwenye hela zaidi Kenya. Ujio wake kwenye muziki umekuja na stori nyingi sana juu ya maisha yake, na leo nimekutana na hii inayotrend mitandaoni kwa Kenya.
Akothee…
#GlobalCelebrityUpdates: Wiz Khalifa , Amber Rose Na Sebastian Wala Good Time Kama Familia –…
Stori inayotrend wiki hii kwenye picha za #GlobalCelebrityUpdates ni hii ya Amber Rose na Wiz Khalifa kujumuika kwa pamoja kama familia, kusherekea siku ya kuzaliwa ya mtoto wao mpendwa Sebastian. Licha ya kuwa mastaa hao wawili…
#GlobalCelebrityUpdates: Zicheki Picha Za Mrembo Jokate Na Mastaa Mbalimbali Wa Marekani
Moja kati ya issue zinazotrend mitandaoni asubuhi hii ni Jokate kuonekana pichani na wakali wa muziki kutoka Marekani, Jay Z, Beyonce na Remy Ma.
Kukutana na Jay Z na Beyonce ni ndoto ya watu wengi sana, lakini bahati hiyo…
Mr. PAPARAZI: Mzee Chilo na Shilole Vepee?
Na Mr Paparazi ABDULHAN | Gazeti la IJUMAA |
Mr. Paparazi ni kona ya kiburudani kwa njia ya picha katika Gazeti la Ijumaa....ni kama wanasema vile!
Choki Apania Kuweka Rekodi Mpya Tamasha la Miaka 30 ya Uimbaji Wake
MWIMBAJI maarufu na mkongwe kwenye muziki wa dansi, Ali Choki (pichani juu) ameeleza kuwa atafanya makamuzi ya hatari kwenye tamasha la kutimiza miaka 30 ya uimbaji tangu kuanza kwake kazi hiyo.Akichonga na Global TV Online, Choki amesema…
Bagamoyo Yatikisika Wakati JWTZ Ikionesha Uwezo Wake Wa Kijeshi Mbele Ya Amiri Jeshi Mkuu, Rais John…
Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akilakiwa na Mkuu wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) Jenerali Davies Mwamunyange alipowasili kufunga mafunzo ya medani ya Kijeshi ya kutua…
Kala Jeremiah: Nimeenzi lugha ya Kiswahili kwa ‘Wana Ndoto’
Msanii wa Hip Hop, Kala Jeremiah akiwa Global TV Online siku ya jana.
Mhariri wa Ijumaa Wikienda, Sifael Paul (kushoto) akiwa katika pozi na Kala Jeremiah.
Wafanyakazi wa Global Publishers, Nyemo Chilongani (kushoto) na Andrew…
Profesa Jay: Mimi nilikuwa mbunge kabla sijaingia bungeni
Msanii mkongwe wa Hip Hop na Mb8nge wa Chadema Jimbo la Mikumi, Joseph Haule ' Profesa Jay' (kulia) akiwa na Mhariri msadizi wa Gazeti la Amani, Andrew Carols jana baada ya kufanya mahojiano na Global TV Online.
Mhariri wa Risasi…
Shinda Nyumba: Zimebaki siku chache tu, changamkia mjengo huu!
Kushinda nyumba hii mpya yenye fanicha ndani ni rahisi sana! Nunua Gazeti la Championi, Ijumaa, Uwazi, Amani, Ijumaa Wikienda au Risasi, kisha jaza kuponi iliyopo ukurasa wa pili kisha ikate na itume kwenye Ofisi za Global…
Diamond Platinumz ajiachia katika pozi tata na mpenzi wake
Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ na Mpenzi wake, Zarinah Hassan ‘Mama Tiffah’ wakiwa katika pozi tata.
Prodyuza kutoka Norway atinga Global TV Online leo
Prodyuza Carl Hovind akiwa katika pozi ndani ya studio za Global TV Online.
Na Hashim Aziz- GPL
Prodyuza mahiri, Carl Hovind aliyewahi kufanya kazi na wasanii wakubwa kama Damian Marley, Christopher Martin, Gyptian na Roberto…
Picha sita za Ijumaa Sexiest Girl 2015
Video Queen anayefanya pia filamu, Asha Salum ‘Kidoa’ akiwa katika mapozi tofauti na ameibuka mshindi wa tuzo ya Ijumaa Sexiest Girl 2015 na kuwafunika Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Vanessa Mdee ‘Vee ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar…
Diamond: Njooni Dar Live X-mas, sitawaangusha!
Diamond Platnumz akiwasalimia mashabiki wake waliofurika katika eneo la Karume leo kwenye mkutano na wanahabari kuhusu shoo yake itakayofanyika Dar Live kwenye Sikukuu ya Krismasi.
Diamond akiimba wimbo wake mpya wa Utanipenda sambamba…
Mtoto wa H-Baba awa balozi wa duka la EBM
H-Baba akimsaidia kukata keki ya sherehe mwanaye Tanzanite.
Tanzanite akimlisha keki baba yake H-Baba huku mama yake mzazi akishuhudia kwa karibu tukio hilo.
Muigizaji wa filamu Davina akilishwa keki na Tanzanite.
Mmiliki wa…
Muonekano mpya wa Yemi Alade
STAA wa muziki nchini Nigeria, Yemi Alade ameachia picha zake mpya zinazoonyesha muonekano wake wa sasa.
Picha hizo zimepigwa na mpiga picha Kelechi Amadi-Obi.
Gigy Money atembelea Global
Binti anayekuja kwa kasi kwenye ulimwengu wa muziki, Giggy Money (kulia) akiwa katika pozi na Mhariri wa Gazeti la Ijumaa Wikienda, Sifael Paul.
Giggy Money akiwa katika mapozi mbalimbali na wafanyakazi wa Global Publishers.