Richard Tanganyika Akabidhiwa Pikipiki ya ‘Tusua Maisha na Global’
MSHINDI wa pikipiki katika Shindano la Tusua Maisha na Global, Richard Tanganyika, amekabidhiwa zawadi yake pamoja na washindi wengine katika ofisi za Global Group, zilizoko Sinza-Mori jijini Dar es Salaam.
Washindi…