Mapinduzi ya Muziki Bongo… Kiba, Harmo Waungana!
KWA mashabiki wa muziki wa Bongo Fleva, hii ni zaidi ya good news! Habari ikifikie kwamba, mafundi wawili; Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ na Rajab Abdul ‘Harmonize’ wana jambo lao ambalo liko jikoni, litakapokapokamilika dunia itaelewa nini…