
Browsing Category
Amani
MSANII APIGWA MIMBA YATOKA
DAR ES SALAAM: MAMBO mengine yanatafakarisha! Hivi inawezekanaje umkataze mtu atukane halafu ageuke mbogo na baadaye kukushushia kipigo hadi ujauzito uharibike? Amani limepokea kisa hiki na linakupakulia.
Msanii wa filamu…
MKIACHANA MNAPASWA KUISHI HIVI!
HAKUNA kitu kinauma kama kuachwa. Anayeachwa huwa anakuwa hayupo tayari kukubali matokeo. Aliyemuacha mwenzake anakuwa amejiandaa wakati mwenzake hajajiandaa. Ni rahisi sana kwa aliyeachwa kutengeneza chuki kwa aliyemuacha.
…
MARRY MAWIGI SIDANGI, TAMTHILIYA ZINALIPA
Mwigizaji wa filamu Bongo, Mary Mawigi amefunguka kuwa, kwa sasa maisha yake anayaendesha kwa kucheza tamthiliya ikiwa ni baada ya soko la filamu kukataa.
Akipiga stori na Amani, Mary alisema maisha yake yanaenda vizuri…
IYOBO, AUNT ‘FULL’ KURUSHANA ROHO
DANSA wa Kundi la Wasafi Classic Baby ‘WCB’, Moses Iyobo ‘Moze’ na mzazi mwenziye Aunt Ezekiel ambao sasa wamemwagana, hivi karibuni walionekana kurushana roho baada ya kukutana kwenye bethidei ya Tanasha Donna na mama Nasibu Abdul…
JUMA NATURE KUIBUKA NA NANDY, HARMONIZE
MSANII mkongwe katika tasnia ya muziki wa Bongo Fleva, Juma Kassim ‘Nature’ amefunguka kuwa, ana nyimbo nyingi alizofanya yeye mwenyewe na alizowashirikisha wasanii wengine ambazo bado hajaziachia. Akizungumza na Star Showbiz, Nature…
PENZI LA KIBA LAMTESA MREMBO!
TOA la moyoni! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia mrembo mmoja anayetumia jina la Nancy_The_Beuty kueleza hisia zake za mapenzi kwa staa wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ‘Alikiba’. Kupitia ukurasa wake huo, mrembo huyo alitiririka maneno…
TAPELI MREMBO WA NITUMIE KWA NAMBA HII ANASWA
MOROGORO: Mrembo mmoja ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja, amenaswa katika tukio la utapeli wa fedha za mtandao.
Tukio hilo lililofunga umati wa watu lilitokea hivi karibuni katika mtaa wa Shamba Masika,…
ASKARI AJIUA KISA MKWEWE
MOROGORO: Inasikitisha! Askari wa Kampuni ya Ulinzi ya Setembo, Rajabu Athumani (60), anadaiwa kujiua kwa kujinyonga, kisa kikidaiwa ni mauaji ya mkwewe, Amani lina habari ya kusikitisha.
Tukio hilo lililoacha simanzi…
LULU DIVA AANIKA SIRI YA KUUCHA MUZIKI
B AADA ya tetesi kusambaa kuwa ameachana na muziki na kujikita kwenye tamthiliya, msanii wa Bongo Fleva, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ ameanika siri hiyo kuwa hajaukacha muziki moja kwa moja bali ameamua kuangalia fursa nyingine. Akizun-gumza…
KOLETHA, BEN BRANKO NUSURA WAZICHAPE
NI shida! Mkongwe wa filamu za Kibongo, Koletha Raymond na msanii mwenzake, Ben Branko hivi karibuni waliponea chupuchupu kuzichapa baada ya kupishana kwa maneno. Chanzo kilichokuwa eneo la tukio kilieleza kuwa, Koletha na Ben nusura…
PETE YA UCHUMBA YA GIGY GUMZO
MREMBO anayefanya poa kunako anga la Bongo Fleva, Gigy Money amedaiwa kuvishwa pete na mwanaume mwingine tofauti na Mojay ambaye ni mzazi mwenzake, jambo ambalo limeibua gumzo la aina yake. Baada ya picha mbalimbali za mkono…
50 CENT AMKATAA MWANAYE
RAPA kutoka Marekani, 50 Cent ameingia kwenye headline kwa mara nyingine baada ya kumkana hadharani kijana aitwaye Marquise Jackson (21) anayedaiwa kuwa ni mtoto wake. 50 Cent kupitia ukurasa wake wa Instagram, amesema kuwa kijana huyo…
KIDOA AELEZA SABABU UCHUMBA KUVUNJIKA
MSANII wa filamu na video queen maarufu Bongo, Asha Salum ‘Kidoa’ ameibuka na kueleza sababu za uchumba wake kuvunjika. Kidoa alifikia hatua ya kufungukia hilo kutokana na habari kuzagaa kwamba uchumba wake umevunjika ambapo alisema ni…
MONDI AMPA MSALA KIBA!
DAR ES SALAAM: Weka pembeni nyimbo zake za mwaka huu za Tetema, The One na Inama, sasa ni zamu ya Kanyaga kutoka kwa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ambao umesababisha kizazaa kwa hasimu wake kimuziki, Ali Saleh…
T.I AKABIDHI TUZO YA NIPSEY KWA FAMILIA
RAPA Clifford Joseph Harris usiku wa kuamkia Jumanne, alikabidhi tuzo ya BET ya rapa mwenzake, marehemu Nipsey Hussle. Katika tuzo hizo zilizotolewa ndani ya Ukumbi wa Microsoft Theater jijini Los Angeles, Nipsey ambaye licha ya…
TATIZO LA KUKOSA HEDHI WAKATI SI MJAMZITO (AMENORRHEA)
KWA kawaida, mtoto wa kike akishafikia umri wa kuvunja ungo, anaanza kuona siku zake za hedhi. Huendelea kuona siku zake kwa kipindi chote cha maisha yake, mpaka anapofikia umri wa ukomo wa hedhi. Siku pekee ambazo mwanamke hatakuwa…
ISHU YA FREEMASON… YATIKISA UPYA WASAFI!
KUMEPITA ukimya wa muda mrefu hazijasikika zile habari za msisimko zinazoihusu jamii ya siri duniani inayodaiwa kumuabudu shetani na kuhusishwa na utajiri wa ghafla ambao si wa kawaida ya Freemason hapa nchini, Amani linaibuka nayo.…
MAMA WA KANUMBA KUBURUZWA KORTINI
DAR ES SALAAM: BALAA jipya! Mama wa aliyekuwa msanii maarufu wa filamu nchini marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa anatarajiwa kupandishwa mahakamani; chanzo kikitajwa ni mali za mwanaye.
Akizungumza kwa njia ya simu akiwa…
AUNT SINA PAPARA NA NDOA, NAKULA UJANA !
AUNT Ezekiel amesema kwa sasa hana mpango wa kufunga ndoa na mpenzi wake mpya kwani anakula ujana kwanza. Aunt ambaye anafanya poa kwenye ulimwengu wa filamu Bongo, amesema kwa sasa suala la kufunga ndoa halipi kipaumbele sababu maisha…
SHILOLE: SIJAINGIA KWENYE NDOA KUCHEZA MDUARA!
MWANAMUZIKI wa mduara Bongo, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amefunguka kuwa, watu wasimfikirie ameamua kuingia kwenye ndoa kama maonesho, bali amedhamiria kwenda kuwa mke anayestahili kuwa mfano wa kuigwa na hatarajii kutoka kwenye ndoa…
POSH QUEEN, PROF JAY GUMZO!
PICHA waliyopiga mwanamitindo Jacqueline Obed ‘Posh Queen’ na Mbunge wa Mikumi, Joseph Haule ‘Prof Jay’ imezua gumzo ile mbaya huko Instagram. Picha hiyo inayoaminika imepigwa hivi karibuni baada ya Posh kutembelea Bunge jijini Dodoma,…
UNAUHAKIKA ANAKUPENDA KWA DHATI
ALHAMISI nyingine imewadia ambapo tumekutana katika uwanja huu, ambao tunajifunza mambo mbalimbali kuhusu uhusiano. Naamini ukurasa huu unakusaidia kukuza ufahamu kwenye mambo ya malavidavi na kila siku kuna vitu unajifunza. Marafiki…
FAHAMU MADHARA YA PUMU KWA WAJAWAZITO
TAFITI kadhaa zimeonesha kuwa takribani theluthi moja ya wajawazito wenye pumu hupata nafuu kipindi cha ujauzito, theluthi nyingine hupata matatizo kipindi hiki na theluthi iliyobakia huwa na hali ya kawaida kama kabla ya ujauzito. Kwa…
Baada ya Kushindwa Kufanya Shoo Kenya, Afya ya Diamond, Hofu Yantanda
HOFU imetanda juu ya afya ya staa wa Afro-Pop barani Afrika, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Amani limedokezwa.
TUJIUNGE NAIROBI, KENYA
Habari zimeeleza kuwa wikiendi iliyopita mwanamuziki huyo alishindwa kabisa…
DAVINA AFUATA NYAYO ZA MOND
HALIMA Yahya ‘Davina’ ameonesha kufuata nyayo za staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Mondi’ kwa kuanzisha ‘brandi’ yake ya pafyumu. Mrembo huyo kutoka Bongo Movies ameliambia Amani kuwa, malengo yake makubwa ni kuhakikisha anafanya…
AMBER LULU KUMZALIA PREZZO!
VIDEO queen ambaye pia anafanya poa kunako Bongo Flevani, Lulu euggen ‘Amber Lulu’ amesema kwa sasa anaona kuwa hakuna cha kusubiri tena zaidi ya kumshauri mpenzi wake, Jackson Makini ‘Prezzo’ wazae mtoto.
Akizungumza na Amani,…
UTAWEZAJE KUKAMATA MWANAUME ULIYEMPENDA-3
UKWELI ni kwamba wanawake wakiwapenda wanaume hubaki na mateso mioyoni mwao. Hii ni kwa sababu ni vigumu kumtokea mwanaume moja kwa moja kumwaga sera kuwa unataka ‘akung’oe’.
Ni kweli kwamba, hata kama mwanaume akimkubali…
FAHAMU MAKUNDI YA UGONJWA WA PUMU (BRONCHIAL ASTHMA)-2
Wiki hii tunaendelea mfululizo wa makala ya Fahamu makundi ya ugonjwa wa pumu, endelea kufuatilia...
LAKINI pia upasuaji wakati wa kujifungua (Caesarian section), tafiti kadhaa zimeonesha kuwa kujifungua kwa njia ya upasuaji huongeza…
ALIYEMUUA MKE, MKWE, JIRANI… UNDANI WAANIKWA
MOROGORO: Tukio la Michael John Mwandu, mkazi wa Dumila, Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro la kumuua mkewe, jirani na mkwewe na kisha naye kujiua bado limeendelea kuwa gumzo na Amani limefika eneo la tukio na kukuletea undani wake.…
MCHUNGAJI AZUA TAFRANI KARIAKOO
DAR ES SALAAM: Ukisikia neno mchungaji amezua tafrani na kufunga mtaa mchana kweupe lazima utabaki na maswali mengi, imekuwaje kwani matukio kama haya ni nadra kuhusishwa wachungaji!
Iko hivi; Mchungaji wa Kanisa la…
CHUCHU: GABO NI ZAIDI YA FURAHA KWANGU !
CHUCHU Hansi amefunguka kuwa, kila anapopata nafasi ya kukutana na muigizaji mwenzake Salim Ahmed ‘Gabo’ anapata amani ya moyo kwani ni mtu wanayeelewana sana.
Akizungumza na Amani, Chuchu anayekimbiza kunako anga la filamu…
SAJENTI: NGUO FUPI HAZIMHARIBU MTOTO
MUIGIZAJI Husna Idd ‘Sajenti’ amesema kitendo cha yeye kumvalisha mwanaye nguo fupi hakimaanishi kwamba mwanaye ataharibikiwa kitabia.
Sajenti amesema, kwenye mitandao ya kijamii watu wamekuwa wakimsema kwamba anamharibu…
NDOA YA LULU SINTOFAHAMU
DAR ES SALAAM: Moja ya ndoa za mastaa Bongo iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu kubwa ni ya msanii wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ lakini sasa hali ya sintofahamu imegubika, Amani limebaini.
Sintofahamu hiyo inakuja…
UMAFIA! WATEKA MTOTO WAPATELI FEDHA WAOANE
DAR ES SALAAM: Watu wawili waliotajwa kuwa ni wachumba waliofahamika kwa majina ya James na Happy wakazi wa Kivule jijini Dar wanadaiwa kumteka mtoto kisha kumlazimisha mama yake atoe pesa ili wamrudishe la sivyo wanamuua.
…
JEURI KAMA YOTE, DIMPOZ AWAVIMBIA KIBA, MONDI
DAR ES SALAAM: Dunia inakwenda kasi sana na ni vigumu mno kuisimamisha! Miezi kadhaa baada ya afya yake kuyumba kisha kulazwa hospitali mbalimbali nje ya nchi ikiwemo Afrika Kusini, Ujerumani na Kenya, staa mkubwa wa Bongo Fleva, Omary…
KUTOKA ‘SEBULENI ‘ HADI VIWANJANI
MAISHA yanakwenda kasi kweli! Wasanii wengi kwa sasa wanakimbizana na dijitali! Leo hii huyu anakimbiza kupata views kwenye Mtandao wa YouTube, yule kuuza nakala zake kwenye iTunes, Spotify na Tidal.
Ukiangalia kwa undani…
KUKUAMBIA ANAKUPENDA TU HAITOSHI IKIWA… – 2
TUNAMALIZIA mada yetu iliyoanza wiki iliyopita. Muhimu tunaangalia kasoro unazotakiwa kuziangalia kwa mpenzi uliyenaye. Je, upo kwenye uhusiano na mpenzi wa aina gani? Anaweza kuwa anakuambia mara nyingi ‘anakupenda sana’, lakini je,…
FAIZA AFURAHIA SUGU KUPATA MTOTO
TOFAUTI na matarajio ya wambeya wa Instagram, kwamba mzazi mwenziye Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, Faiza Ally atakuwa na kinyongo na mwanamke wa sasa wa Sugu, mrembo huyo amewakata maini mashabiki wa mtandao huo kwa…
DK CHENI AKIRI KUIPA KISOGO SANAA
MKONGWE kwenye sanaa ya filamu Bongo, Mahsein Awadhi ‘Dk Cheni’ amefunguka kuwa, kwa sasa ameamua kuiweka pembeni sanaa na kujikita zaidi kwenye shughuli zake za U-mc.
Dk Cheni amesema, kutokana na hali ya soko la sanaa…
ROMY ETI KAMWE ‘HAMCHITI’ MKEWE
KAKA wa mwanamuziki maarufu Nasibu Abdul ‘Diamond’, Romeo Jones ‘Romy Jons’ amefunguka kuwa katika kitu ambacho hawezi kukifanya ni kumsaliti mke wake kwani anampenda sana hivyo kufanya hivyo kutamuuma sana.
Romy alisema…